Swali: Nikifanya maasi na nikatubia juu yake pasi na kujutia. Je, tawbah yangu inakubaliwa?
Jibu: Hapana, haikubaliwi. Kwa sababu masharti ya tawbah ni matatu ambapo moja wapo ni kujutia yale yaliyopita.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (79) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-11-7-1439.mp3
- Imechapishwa: 03/11/2018
Swali: Nikifanya maasi na nikatubia juu yake pasi na kujutia. Je, tawbah yangu inakubaliwa?
Jibu: Hapana, haikubaliwi. Kwa sababu masharti ya tawbah ni matatu ambapo moja wapo ni kujutia yale yaliyopita.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (79) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd-11-7-1439.mp3
Imechapishwa: 03/11/2018
https://firqatunnajia.com/tawbah-isiyokuwa-na-majutio/