Swali: Ni ipi hukumu ya kutawadha chooni?
Jibu: Hapana vibaya akihitaji kufanya hivo. Hata hivyo atamke shahaadah wakati atapotoka.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24731/حكم-الوضوء-في-الحمام
- Imechapishwa: 04/12/2024
Swali: Ni ipi hukumu ya kutawadha chooni?
Jibu: Hapana vibaya akihitaji kufanya hivo. Hata hivyo atamke shahaadah wakati atapotoka.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24731/حكم-الوضوء-في-الحمام
Imechapishwa: 04/12/2024
https://firqatunnajia.com/tawadha-chooni-tamka-shahaadah-nje/