Swali: Je, katika Uislamu kuna Taswawwuf yenye kusifiwa?
Jibu: Hapana. Taswawwuf imezuliwa. Katika Uislamu hakuna Taswawwuf yenye kusifiwa. Zote ni zenye kusemwa vibaya. Yule mwenye kutaka kheri atendee kazi Sunnah na asitendee kazi Bid´ah – na Taswawwuf ni Bid´ah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
- Imechapishwa: 27/02/2018
Swali: Je, katika Uislamu kuna Taswawwuf yenye kusifiwa?
Jibu: Hapana. Taswawwuf imezuliwa. Katika Uislamu hakuna Taswawwuf yenye kusifiwa. Zote ni zenye kusemwa vibaya. Yule mwenye kutaka kheri atendee kazi Sunnah na asitendee kazi Bid´ah – na Taswawwuf ni Bid´ah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ al-Maftuuh fiy Masjid Qubaa’ http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17626
Imechapishwa: 27/02/2018
https://firqatunnajia.com/taswawwuf-ni-yenye-kusemwa-vibaya-na-ni-bidah/