Swali: Kuna mtu ametoa Tasliym kabla ya imamu. Ni ipi hukumu ya swalah yake?
Jibu: Ikiwa amekusudia swalah yake si sahihi. Ama akiwa si mwenye kukusudia arudi katika swalah yake na atoe Tasliym baada ya imamu. Katika hali hiyo hakuna neno.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (11) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/14466
- Imechapishwa: 10/10/2017
Swali: Kuna mtu ametoa Tasliym kabla ya imamu. Ni ipi hukumu ya swalah yake?
Jibu: Ikiwa amekusudia swalah yake si sahihi. Ama akiwa si mwenye kukusudia arudi katika swalah yake na atoe Tasliym baada ya imamu. Katika hali hiyo hakuna neno.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (11) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/14466
Imechapishwa: 10/10/2017
https://firqatunnajia.com/tasliym-kabla-ya-imamu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
