Swali: Kuna mtu ametoa Tasliym kabla ya imamu. Ni ipi hukumu ya swalah yake?
Jibu: Ikiwa amekusudia swalah yake si sahihi. Ama akiwa si mwenye kukusudia arudi katika swalah yake na atoe Tasliym baada ya imamu. Katika hali hiyo hakuna neno.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (11) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/14466
- Imechapishwa: 10/10/2017
Swali: Kuna mtu ametoa Tasliym kabla ya imamu. Ni ipi hukumu ya swalah yake?
Jibu: Ikiwa amekusudia swalah yake si sahihi. Ama akiwa si mwenye kukusudia arudi katika swalah yake na atoe Tasliym baada ya imamu. Katika hali hiyo hakuna neno.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (11) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/14466
Imechapishwa: 10/10/2017
https://firqatunnajia.com/tasliym-kabla-ya-imamu/