Swali 769: Pale ambapo tafsiri ya Swahabah haijapingwa na wengine – je, inayo hukumu ya kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Hapana, sahihi ni kwamba hiyo ni ijtihaad yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 259
- Imechapishwa: 10/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 769: Pale ambapo tafsiri ya Swahabah haijapingwa na wengine – je, inayo hukumu ya kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Hapana, sahihi ni kwamba hiyo ni ijtihaad yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 259
Imechapishwa: 10/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/tasiri-ya-swahabah-ni-sawa-na-maneno-yake-mtume/