Swali: Huku kwetu Misri kuna desturi ilioenea wakati wa tanzia ambapo wanapeana pole kwa kukumbatiana. Je, sifa hii ni Bd´ah?
Jibu: Hakuna neno. Ni mamoja watakumbatiana au kupeana mkono. Yote ni sawa.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://saif.af.org.sa/sites/default/files/07_14.mp3
- Imechapishwa: 16/09/2022
Swali: Huku kwetu Misri kuna desturi ilioenea wakati wa tanzia ambapo wanapeana pole kwa kukumbatiana. Je, sifa hii ni Bd´ah?
Jibu: Hakuna neno. Ni mamoja watakumbatiana au kupeana mkono. Yote ni sawa.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://saif.af.org.sa/sites/default/files/07_14.mp3
Imechapishwa: 16/09/2022
https://firqatunnajia.com/tanzania-kwa-kukumbatiana/