Swali: Je, inajuzu haki ya talaka iwe mikononi mwa mwanamke?
Jibu: Hili halifai. Haki ya talaka iko mikononi mwa mume. Ikiwa mume atamkabidhi mwanamke haki hiyo moja kwa moja kuwa mikononi mwake, basi hiyo inakuwa ni sharti batili. Kama ndoa itafungwa kwa sharti hilo, sharti hilo ni batili. Ama kuhusu uwakala, ikiwa mume atamwakilisha mke wake katika baadhi ya nyakati maalum, basi hilo halina tatizo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/2119/حكم-جعل-العصمة-بيد-المراة
- Imechapishwa: 02/01/2026
Swali: Je, inajuzu haki ya talaka iwe mikononi mwa mwanamke?
Jibu: Hili halifai. Haki ya talaka iko mikononi mwa mume. Ikiwa mume atamkabidhi mwanamke haki hiyo moja kwa moja kuwa mikononi mwake, basi hiyo inakuwa ni sharti batili. Kama ndoa itafungwa kwa sharti hilo, sharti hilo ni batili. Ama kuhusu uwakala, ikiwa mume atamwakilisha mke wake katika baadhi ya nyakati maalum, basi hilo halina tatizo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/2119/حكم-جعل-العصمة-بيد-المراة
Imechapishwa: 02/01/2026
https://firqatunnajia.com/talaka-mikononi-mwa-mwanamke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket