Swali 881: Inajuzu kumtaliki mke mjamzito?
Jibu: Kumtaliki mwanamke mwenye mimba hakuna neno. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema kumwambia ´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) wakati alipomtaliki mke wake akiwa na hedhi:
“Mrejee. Kisha mzuie mpaka atwaharike, kisha apate hedhi, kisha apate hedhi, kisha mtaliki ukitaka akiwa msafi kabla ya kumjamii au akiwa mjamzito.”
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 352
- Imechapishwa: 27/07/2019
Swali 881: Inajuzu kumtaliki mke mjamzito?
Jibu: Kumtaliki mwanamke mwenye mimba hakuna neno. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema kumwambia ´Abdullaah bin ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) wakati alipomtaliki mke wake akiwa na hedhi:
“Mrejee. Kisha mzuie mpaka atwaharike, kisha apate hedhi, kisha apate hedhi, kisha mtaliki ukitaka akiwa msafi kabla ya kumjamii au akiwa mjamzito.”
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 352
Imechapishwa: 27/07/2019
https://firqatunnajia.com/talaka-kwa-mjamzito/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)