Swali: Je, talaka inapita kwa maneno yasiyo ya wazi, kama mwanaume akisema ”Nenda kwa watu wako” huku akiwa anakusudia talaka?
Jibu: Ndiyo, talaka inapita kwa maneno ya kinaya ikiwa atakuwa amekusudia talaka. Akisema ”Jiunge na watu wako, ”Nenda kwa watu wako” au ”Rudi kwa watu wako” naye akakusudia talaka, basi talaka inapita na hutokea talaka moja.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/2126/حكم-الطلاق-بالكنايات
- Imechapishwa: 02/01/2026
Swali: Je, talaka inapita kwa maneno yasiyo ya wazi, kama mwanaume akisema ”Nenda kwa watu wako” huku akiwa anakusudia talaka?
Jibu: Ndiyo, talaka inapita kwa maneno ya kinaya ikiwa atakuwa amekusudia talaka. Akisema ”Jiunge na watu wako, ”Nenda kwa watu wako” au ”Rudi kwa watu wako” naye akakusudia talaka, basi talaka inapita na hutokea talaka moja.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/2126/حكم-الطلاق-بالكنايات
Imechapishwa: 02/01/2026
https://firqatunnajia.com/talaka-isiyo-wazi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket