Sio Jahmiyyah wenyewe wamesema kuwa Qur-aan imeumbwa. Mu´tazilah, Rawaafidhw na Khawaarij wamewafuata kwa hilo. Hata waliokuja nyuma Ash´ariyyah wamekuwa ni wenye kusema wazi ya kwamba Qur-aan hii iliyopo kwenye misahafu imeumbwa. Huu ni upotevu mkubwa na tunaomba kinga kwa Allaah. Mnaona kuwa Salaf wamemkufurisha yule mwenye kusema hivo.
- Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: adh-Dhariy´ah ilaa Bayaan Maqaasid Kitaab-ish-Sharï´ah (1/340)
- Imechapishwa: 19/05/2015
Sio Jahmiyyah wenyewe wamesema kuwa Qur-aan imeumbwa. Mu´tazilah, Rawaafidhw na Khawaarij wamewafuata kwa hilo. Hata waliokuja nyuma Ash´ariyyah wamekuwa ni wenye kusema wazi ya kwamba Qur-aan hii iliyopo kwenye misahafu imeumbwa. Huu ni upotevu mkubwa na tunaomba kinga kwa Allaah. Mnaona kuwa Salaf wamemkufurisha yule mwenye kusema hivo.
Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: adh-Dhariy´ah ilaa Bayaan Maqaasid Kitaab-ish-Sharï´ah (1/340)
Imechapishwa: 19/05/2015
https://firqatunnajia.com/takfiyr-ya-salaf-kwa-mwenye-kusema-qur-aan-imeumbwa-1/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)