Sio Jahmiyyah wenyewe wamesema kuwa Qur-aan imeumbwa. Mu´tazilah, Rawaafidhw na Khawaarij wamewafuata kwa hilo. Hata waliokuja nyuma Ash´ariyyah wamekuwa ni wenye kusema wazi ya kwamba Qur-aan hii iliyopo kwenye misahafu imeumbwa. Huu ni upotevu mkubwa na tunaomba kinga kwa Allaah. Mnaona kuwa Salaf wamemkufurisha yule mwenye kusema hivo.
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: adh-Dhariy´ah ilaa Bayaan Maqaasid Kitaab-ish-Sharï´ah (1/340)
- Imechapishwa: 19/05/2015
Sio Jahmiyyah wenyewe wamesema kuwa Qur-aan imeumbwa. Mu´tazilah, Rawaafidhw na Khawaarij wamewafuata kwa hilo. Hata waliokuja nyuma Ash´ariyyah wamekuwa ni wenye kusema wazi ya kwamba Qur-aan hii iliyopo kwenye misahafu imeumbwa. Huu ni upotevu mkubwa na tunaomba kinga kwa Allaah. Mnaona kuwa Salaf wamemkufurisha yule mwenye kusema hivo.
Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: adh-Dhariy´ah ilaa Bayaan Maqaasid Kitaab-ish-Sharï´ah (1/340)
Imechapishwa: 19/05/2015
https://firqatunnajia.com/takfiyr-ya-salaf-kwa-mwenye-kusema-qur-aan-imeumbwa-1/