Swali 811: Takbiyr zisizofungamana ndani ya siku kumi [za Dhul-Hijjah] zinaletwa baada ya zile swalah za faradhi?
Jibu: Hapana. Bali kuanzia siku ya tisa ya Dhul-Hijjah hadi ya kumi na tatu hukusanyika aina mbili za Takbiyr: iliyoachiwa na iliyofungamana.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 291
- Imechapishwa: 17/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 811: Takbiyr zisizofungamana ndani ya siku kumi [za Dhul-Hijjah] zinaletwa baada ya zile swalah za faradhi?
Jibu: Hapana. Bali kuanzia siku ya tisa ya Dhul-Hijjah hadi ya kumi na tatu hukusanyika aina mbili za Takbiyr: iliyoachiwa na iliyofungamana.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 291
Imechapishwa: 17/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/takbiyr-zilizoachiwa-baada-ya-swalah-za-faradhi/