Swali: Nikiingia msikitini na swalah ikakimiwa, inafaa kwangu kuswali Tahiyyat-ul-Masjid Rak´ah mbili za harakaharaka kisha ndio nijiunge na mkusanyiko?
Jibu: Hapana:
“Kunapokimiwa swalah basi hakuna swalah nyingine isipokuwa ile ya wajibu.”[1]
Hadiyth ni Swahiyh.
Haijuzu kwako kuswali swalah nyingine isipokuwa ile iliyokimiwa.
[1] Muslim (710).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/node/16495
- Imechapishwa: 23/07/2017
Swali: Nikiingia msikitini na swalah ikakimiwa, inafaa kwangu kuswali Tahiyyat-ul-Masjid Rak´ah mbili za harakaharaka kisha ndio nijiunge na mkusanyiko?
Jibu: Hapana:
“Kunapokimiwa swalah basi hakuna swalah nyingine isipokuwa ile ya wajibu.”[1]
Hadiyth ni Swahiyh.
Haijuzu kwako kuswali swalah nyingine isipokuwa ile iliyokimiwa.
[1] Muslim (710).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (68) http://alfawzan.af.org.sa/node/16495
Imechapishwa: 23/07/2017
https://firqatunnajia.com/tahiyyat-ul-masjid-wakati-wa-iqaamah/