141 – Aliulizwa Shaykh kuhusu mtu ambaye ametoka msikitini kisha akarudi – je, ataswali swalah ya mamkuzi ya msikiti?
Jibu: Ndio.
Swali 142: Hata kama muda wa kutoka na kurudi ni mfupi?
Jibu: Ndio, kwa mujibu wa ujumla wa dalili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 69
- Imechapishwa: 27/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
141 – Aliulizwa Shaykh kuhusu mtu ambaye ametoka msikitini kisha akarudi – je, ataswali swalah ya mamkuzi ya msikiti?
Jibu: Ndio.
Swali 142: Hata kama muda wa kutoka na kurudi ni mfupi?
Jibu: Ndio, kwa mujibu wa ujumla wa dalili.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 69
Imechapishwa: 27/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/tahiyyat-ul-masjid-kwa-aliyetoka-msikitini-kisha-akarudi/