Swali: Hakufurishwi wala kufanyiwa Tafsiyq mtu maalum isipokuwa baada ya kumsimamishia hoja. Je, ni vivyo hivyo inapokuja kaitka Tabdiy´? Je, kuna haja ya kumsimamishia mtu hoja kabla ya kumfanyia Tabdiy´?
Jibu: Ndio. Kila kasoro inayonasibishwa kwa mtu basi ni lazima ithibitishwe. Haijuzu kumtia mtu uzushini wala upotofuni pasi na dalili.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Haram al-Madaniy (64)
- Imechapishwa: 11/07/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)