Swali: Hakufurishwi wala kufanyiwa Tafsiyq mtu maalum isipokuwa baada ya kumsimamishia hoja. Je, ni vivyo hivyo inapokuja kaitka Tabdiy´? Je, kuna haja ya kumsimamishia mtu hoja kabla ya kumfanyia Tabdiy´?
Jibu: Ndio. Kila kasoro inayonasibishwa kwa mtu basi ni lazima ithibitishwe. Haijuzu kumtia mtu uzushini wala upotofuni pasi na dalili.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Haram al-Madaniy (64)
- Imechapishwa: 11/07/2021
Swali: Hakufurishwi wala kufanyiwa Tafsiyq mtu maalum isipokuwa baada ya kumsimamishia hoja. Je, ni vivyo hivyo inapokuja kaitka Tabdiy´? Je, kuna haja ya kumsimamishia mtu hoja kabla ya kumfanyia Tabdiy´?
Jibu: Ndio. Kila kasoro inayonasibishwa kwa mtu basi ni lazima ithibitishwe. Haijuzu kumtia mtu uzushini wala upotofuni pasi na dalili.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Haram al-Madaniy (64)
Imechapishwa: 11/07/2021
https://firqatunnajia.com/tabdiy-inahitaji-iqaamat-ul-hujjah/