Shaykh Swaalih Aalush-Shaykh: Suala hili ni muhimu na nataka uliingilie ndani ili lisije kuidhuru Da´wah kwa ujumla wake. Wamejenga taasisi kwa jina Ihyaa’ at-Turaath. Wameanzisha gazeti au jarida linalochapishwa kwa majina yao. Wanatoa makala yanayoita katika Hizbiyyah na mfano wa hayo.
Imaam al-Albaaniy: Sawa.
Shaykh Swaalih Aalush-Shaykh: Mtu kama wewe – Allaah akuhifadhi – anatakiwa kuingilia ndani suala hili ili Da´wah isidhurike kwa ujumla wake.
- Muhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (1003)
- Imechapishwa: 07/04/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket