Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke mwenye hedhi akisafika kabla ya alfajiri afunge siku hiyo?
Jibu: Afunge siku hiyo na aoge hata kama itakuwa baada ya alfajiri kuingia. Kuchelewesha kuoga mpaka baada ya alfajiri hakuathiri swawm.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/327-328)
- Imechapishwa: 18/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke mwenye hedhi akisafika kabla ya alfajiri afunge siku hiyo?
Jibu: Afunge siku hiyo na aoge hata kama itakuwa baada ya alfajiri kuingia. Kuchelewesha kuoga mpaka baada ya alfajiri hakuathiri swawm.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/327-328)
Imechapishwa: 18/06/2017
https://firqatunnajia.com/swawm-ya-mwanamke-mwenye-hedhi-aliyesafika-kabla-ya-alfajiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)