Swali: Yule anayekula ribaa katika mwezi wa Ramadhaan. Je, swawm yake inakubaliwa?
Jibu: Ribaa ni haramu katika Ramadhaan na nje ya Ramadhaan. Ni haramu kula ribaa katika Ramadhaan na nje yake.
Swali: Je, swawm yake inakubaliwa?
Ibn Baaz: Inatarajiwa kukubaliwa, lakini yuko katika khatari ya maasi.
Swali: Katika baadhi ya maduka Ulaya wamiliki wake ni waislamu na Ramadhaan wanauza pombe na nyama ya nguruwe.
Ibn Baaz: Ni lazima kuchukua tahadhari na wakemewe. Wafundishwe kwamba jambo hili kwamba ni haramu na ni dhambi ili wajifunze na wanufaike na waache hayo.
Swali: Lakini hilo haliingii katika swawm?
Ibn Baaz: Hapana, swawm inaingia dosari. Lakini haibatiliki. Haibatiliki swawm isipokuwa kwa mambo yanayovunja swawm. Lakini kufanya maasi kunaipunguza swawm na kunapunguza thawabu na malipo yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30898/ما-حكم-صيام-اكل-الربا-وباىع-الخمر
- Imechapishwa: 15/09/2025
Swali: Yule anayekula ribaa katika mwezi wa Ramadhaan. Je, swawm yake inakubaliwa?
Jibu: Ribaa ni haramu katika Ramadhaan na nje ya Ramadhaan. Ni haramu kula ribaa katika Ramadhaan na nje yake.
Swali: Je, swawm yake inakubaliwa?
Ibn Baaz: Inatarajiwa kukubaliwa, lakini yuko katika khatari ya maasi.
Swali: Katika baadhi ya maduka Ulaya wamiliki wake ni waislamu na Ramadhaan wanauza pombe na nyama ya nguruwe.
Ibn Baaz: Ni lazima kuchukua tahadhari na wakemewe. Wafundishwe kwamba jambo hili kwamba ni haramu na ni dhambi ili wajifunze na wanufaike na waache hayo.
Swali: Lakini hilo haliingii katika swawm?
Ibn Baaz: Hapana, swawm inaingia dosari. Lakini haibatiliki. Haibatiliki swawm isipokuwa kwa mambo yanayovunja swawm. Lakini kufanya maasi kunaipunguza swawm na kunapunguza thawabu na malipo yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30898/ما-حكم-صيام-اكل-الربا-وباىع-الخمر
Imechapishwa: 15/09/2025
https://firqatunnajia.com/swawm-ya-mla-ribaa-na-muuza-pombe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
