Swali: Katika kijiji chetu kuna mtu anayefanya kazi ya kutengeneza mikate kwenye mashine ya oveni na ni mtu ambaye anaswali na anafunga Ramadhaan. Ameniuliza kama inafaa kula katika Ramadhaan kwa kuzingatia kwamba anakabiliwa na joto la moto mkali kwa masaa mengi mchana akiwa amefunga?
Jibu: Haijuzu kwa mtu huyo kula. Bali ni lazima kwake kufunga. Kitendo cha yeye kuchoma mikate mchana wa Ramadhaan sio udhuru wa kutofunga. Afanye kazi kadri na awezavyo.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (13489)
- Imechapishwa: 27/04/2020
Swali: Katika kijiji chetu kuna mtu anayefanya kazi ya kutengeneza mikate kwenye mashine ya oveni na ni mtu ambaye anaswali na anafunga Ramadhaan. Ameniuliza kama inafaa kula katika Ramadhaan kwa kuzingatia kwamba anakabiliwa na joto la moto mkali kwa masaa mengi mchana akiwa amefunga?
Jibu: Haijuzu kwa mtu huyo kula. Bali ni lazima kwake kufunga. Kitendo cha yeye kuchoma mikate mchana wa Ramadhaan sio udhuru wa kutofunga. Afanye kazi kadri na awezavyo.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah al-Ghudayyaan
Muhusika: al-Lajnah ad-Daa’imah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Ladjnah ad-Daa’imah (13489)
Imechapishwa: 27/04/2020
https://firqatunnajia.com/swawm-ya-mfungaji-anayekabiliwa-na-moshi-mwingi/