Swali: Nina shangazi ambaye amesafika ndani ya Ramadhaan kabla ya kupambazuka alfajiri ambapo akafunga siku hiyo. Alipotaka kuswali Dhuhr akaona umanjano. Je, swawm yake ni sahihi?
Jibu: Ikiwa amesafika kabla ya kuingia alfajiri kisha akafunga basi swawm yake ni sahihi na ule umanjano hauathiri baada ya kuona usafi. ´Umm ´Atwiyyah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Tulikuwa hatuzingatii umanjano na maji ya uchafuchafu kuwa ni kitu baada ya kusafika.”
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin al-Ghudayyaan
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah nr. (13507)
- Imechapishwa: 26/04/2022
Swali: Nina shangazi ambaye amesafika ndani ya Ramadhaan kabla ya kupambazuka alfajiri ambapo akafunga siku hiyo. Alipotaka kuswali Dhuhr akaona umanjano. Je, swawm yake ni sahihi?
Jibu: Ikiwa amesafika kabla ya kuingia alfajiri kisha akafunga basi swawm yake ni sahihi na ule umanjano hauathiri baada ya kuona usafi. ´Umm ´Atwiyyah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Tulikuwa hatuzingatii umanjano na maji ya uchafuchafu kuwa ni kitu baada ya kusafika.”
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdur-Razzaaq ´Afiyfiy
´Abdullaah bin al-Ghudayyaan
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah nr. (13507)
Imechapishwa: 26/04/2022
https://firqatunnajia.com/swawm-ya-anayeona-umanjano-baada-ya-kusafika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)