Swali: Ni upi msimamo wa wanachuoni kutokana na yanayoendelea Syria na ´Iraaq na yale yanayoitwa ´Jihaad katika njia ya Allaah`?
Jibu: Wanawaombea waislamu uokozi, nusura na msaada. Hawawezi zaidi ya hayo. Wanasaidia familia zinazohitajia na mafakiri. Huu ndio msimamo wa waislamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
- Imechapishwa: 09/04/2015
Swali: Ni upi msimamo wa wanachuoni kutokana na yanayoendelea Syria na ´Iraaq na yale yanayoitwa ´Jihaad katika njia ya Allaah`?
Jibu: Wanawaombea waislamu uokozi, nusura na msaada. Hawawezi zaidi ya hayo. Wanasaidia familia zinazohitajia na mafakiri. Huu ndio msimamo wa waislamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
Imechapishwa: 09/04/2015
https://firqatunnajia.com/swali-ni-upi-msimamo-wa-wanachuoni-kutokana-na-yanayoendelea-syria-na-iraaq-na-yale-yanayoitwa-jihaad-katika-njia-ya-allaah-jibu-wanawaombea-waislamu-uokozi-nusura-na-msaada-hawawezi-zaid/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)