Swali: Ni jambo lenye kujulikana juu ya kwamba Rak´ah mbili kwenye Msikiti Mtakatifu ni Twawaaf…
Jibu: Kwa mtu mwenye kufika Makkah, ndio. Ama kwa wale wanaoishi Makkah, wanatakiwa kuswali zile Rak´ah mbili kama misikiti mingine yote; wakiingia na kutaka kukaa waswali Rak´ah mbili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%201%20-%202%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Ni jambo lenye kujulikana juu ya kwamba Rak´ah mbili kwenye Msikiti Mtakatifu ni Twawaaf…
Jibu: Kwa mtu mwenye kufika Makkah, ndio. Ama kwa wale wanaoishi Makkah, wanatakiwa kuswali zile Rak´ah mbili kama misikiti mingine yote; wakiingia na kutaka kukaa waswali Rak´ah mbili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%201%20-%202%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-mamkuzi-ya-msikiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)