Swali: Je, inajuzu kufunga ndoa kwenye msikiti mtakatifu kwa ajili ya baraka? Je, inajuzu kutabaruku kwenye msikiti mtakatifu na maeoneo ya jirani yake?
Jibu: Hapana. Inajuzu kufunga ndoa kwenye misikiti yote. Inajuzu, lakini mtu asiamini ya kwamba hili lina baraka zaidi kuliko sehemu nyenginezo. Mtu asiamini hivi, sawa ikiwa ni kwenye msikiti mtakatifu au msikiti mwingine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%201%20-%202%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Je, inajuzu kufunga ndoa kwenye msikiti mtakatifu kwa ajili ya baraka? Je, inajuzu kutabaruku kwenye msikiti mtakatifu na maeoneo ya jirani yake?
Jibu: Hapana. Inajuzu kufunga ndoa kwenye misikiti yote. Inajuzu, lakini mtu asiamini ya kwamba hili lina baraka zaidi kuliko sehemu nyenginezo. Mtu asiamini hivi, sawa ikiwa ni kwenye msikiti mtakatifu au msikiti mwingine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (34) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighastah%20-%201%20-%202%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/ndoa-msikitini-kwa-ajili-ya-baraka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)