Swali: Ni ipi hukumu ya swalah ya mamkizi ya msikiti katika wakati uliokatazwa; ni wajibu au inapendeza tu?
Jibu: Swalah ya mamkizi ya msikiti ni Sunnah katika nyakati zote. Swalah ya mamkizi ya msikiti ni Rak´ah mbili katika kila wakati kwa mujibu wa maoni sahihi. Haina wakati uliokatazwa. Hata kama imamu anatoa Khutbah siku ya ijuma, mtu asiketi chini mpaka aswali Rak´ah mbili.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30920/ما-حكم-تحية-المسجد-في-وقت-النهي
- Imechapishwa: 16/09/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya swalah ya mamkizi ya msikiti katika wakati uliokatazwa; ni wajibu au inapendeza tu?
Jibu: Swalah ya mamkizi ya msikiti ni Sunnah katika nyakati zote. Swalah ya mamkizi ya msikiti ni Rak´ah mbili katika kila wakati kwa mujibu wa maoni sahihi. Haina wakati uliokatazwa. Hata kama imamu anatoa Khutbah siku ya ijuma, mtu asiketi chini mpaka aswali Rak´ah mbili.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/30920/ما-حكم-تحية-المسجد-في-وقت-النهي
Imechapishwa: 16/09/2025
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-mamkuzi-ya-msikiti-ni-sunnah-katika-nyakati-zote/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
