Swali: Kuna mtu aliwaswalisha watu swalah ya kupatwa nje ya mji katika bari ilihali hajui namna yake ambapo akawaswalisha Rak´ah mbili. Walipomaliza swalah wakamjuza wale waliokuwa pamoja naye kwamba swalah yake ni ya kimakosa. Je, airudi swalah yake?
Jibu: Airudi swalah maadamu kupatwa kwa jua bado kunaendelea. Lakini kukisha hakuna haja. Tumeyataja haya katika yale maneno ya kwanza ya kwamba kupatwa kwa jua kukiisha kabla ya watu kuswali, basi swalah isiswaliwe.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (49) http://binothaimeen.net/content/1123
- Imechapishwa: 27/04/2019
Swali: Kuna mtu aliwaswalisha watu swalah ya kupatwa nje ya mji katika bari ilihali hajui namna yake ambapo akawaswalisha Rak´ah mbili. Walipomaliza swalah wakamjuza wale waliokuwa pamoja naye kwamba swalah yake ni ya kimakosa. Je, airudi swalah yake?
Jibu: Airudi swalah maadamu kupatwa kwa jua bado kunaendelea. Lakini kukisha hakuna haja. Tumeyataja haya katika yale maneno ya kwanza ya kwamba kupatwa kwa jua kukiisha kabla ya watu kuswali, basi swalah isiswaliwe.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (49) http://binothaimeen.net/content/1123
Imechapishwa: 27/04/2019
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-kupatwa-kwa-jua-imeswaliwa-kimakosa-irudiliwe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)