Swali 08: Ni ipi hukumu ya jeneza linaletwa msikitini na watu wakaswali swalah ya faradhi kuielekea?
Jibu: Sijui makatazo yoyote juu ya hayo. Kilichokatazwa ni kuliekea kaburi na si kumwelekea maiti. Sa´d bin Abiy Waqqaas aliletwa kwa ´Aaishah ili amswalie. Pia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimswalia Ibn Baydhwaa´ msikitini. Kwa hivyo sijui makatazo yoyote juu ya hilo. Wala hatuifisidi swalah.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tuhfat-ul-Mujiyb, uk. 107
- Imechapishwa: 25/12/2019
Swali 08: Ni ipi hukumu ya jeneza linaletwa msikitini na watu wakaswali swalah ya faradhi kuielekea?
Jibu: Sijui makatazo yoyote juu ya hayo. Kilichokatazwa ni kuliekea kaburi na si kumwelekea maiti. Sa´d bin Abiy Waqqaas aliletwa kwa ´Aaishah ili amswalie. Pia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimswalia Ibn Baydhwaa´ msikitini. Kwa hivyo sijui makatazo yoyote juu ya hilo. Wala hatuifisidi swalah.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tuhfat-ul-Mujiyb, uk. 107
Imechapishwa: 25/12/2019
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-jeneza-msikitini/