Swali: Kutokana na kukatazwa swalah ya ijumaa misikitini, tunauliza kama inafaa kwetu kuswali swalah ya ijumaa majumbani pamoja na familia?
Jibu: Wasiswali swalah ya ijumaa. Ubainifu uliotoka kwa kamati ya Kibaar-ul-´Ulamaa´ wamesema watu waswali Dhuhr.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=Lk6kRDKubto&feature=youtu.be
- Imechapishwa: 20/03/2020
Swali: Kutokana na kukatazwa swalah ya ijumaa misikitini, tunauliza kama inafaa kwetu kuswali swalah ya ijumaa majumbani pamoja na familia?
Jibu: Wasiswali swalah ya ijumaa. Ubainifu uliotoka kwa kamati ya Kibaar-ul-´Ulamaa´ wamesema watu waswali Dhuhr.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=Lk6kRDKubto&feature=youtu.be
Imechapishwa: 20/03/2020
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-ijumaa-nyumbani-wakati-wa-janga-la-corona/