Swali: Kutokana na kukatazwa swalah ya ijumaa misikitini, tunauliza kama inafaa kwetu kuswali swalah ya ijumaa majumbani pamoja na familia?

Jibu: Wasiswali swalah ya ijumaa. Ubainifu uliotoka kwa kamati ya Kibaar-ul-´Ulamaa´ wamesema watu waswali Dhuhr.

  • Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=Lk6kRDKubto&feature=youtu.be
  • Imechapishwa: 20/03/2020