Swali 358: Tumesikia kuhusu swalah ya haja na swalah ya kuhifadhi Qur-aan. Je, zipo swalah mbili hizi au hazipo?
Jibu: Zote mbili si sahihi. Si hiyo swalah ya haja wala swalah ya kuhifadhi Qur-aan. Kwa sababu mfano wa ´ibaadah hizi haiwezekani kuzithibitisha isipokuwa kwa dalili ya Kishari´ah ambayo ni hoja, jambo ambalo hakuna. Kwa hivyo hazikuwekwa katika Shari´ah.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 139
- Imechapishwa: 29/09/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)