Swali 132: Je, kuanza na uso wakati wa Tayammum ni wajibu?
Jibu: Ndiyo, kwa mujibu wa Aayah.
Swali 133: Je, mtu aliyeswali bila kufuata mpangilio anatakiwa kurudia swalah yake?
Jibu: Hapana, lakini akirudia kuswali kwa ajili ya kuchukua tahadhari ni vyema zaidi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 64-65
- Imechapishwa: 25/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 132: Je, kuanza na uso wakati wa Tayammum ni wajibu?
Jibu: Ndiyo, kwa mujibu wa Aayah.
Swali 133: Je, mtu aliyeswali bila kufuata mpangilio anatakiwa kurudia swalah yake?
Jibu: Hapana, lakini akirudia kuswali kwa ajili ya kuchukua tahadhari ni vyema zaidi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 64-65
Imechapishwa: 25/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/swalah-ya-ambaye-hakuanza-kupangusa-uso-wakati-wa-tayammum/