Swali 285: Nini maana ya makanusho ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliposema:
”Hapana swalah wakati chakula kishatengwa… ”?
Jibu: Makanushao ya ukamilifu. Hiko ndio kinachotambulika kwa wanazuoni.
Swali 286: Anayo hukumu moja yule ambaye anamtamani mke wake?
Jibu: Huyu anaweza kuwa na matamanio zaidi kuliko ambaye anatamani chakula. Watu wako sampuli mbalimbali na hivyo wanatofautiana.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 102
- Imechapishwa: 17/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket