Swali: Kuna mtu anawaita watu kufunga safari kwenda kwenye makaburi na kuyaadhimisha. Je, inasihi kuswali nyuma yake?
Jibu: Hapana. Ambaye anaita kwenda kuyatembelea makaburi na kuyafungia safari haijuzu kuswali nyuma yake. Kwa kuwa hakemei shirki, bali analingania kwayo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14819
- Imechapishwa: 16/04/2018
Swali: Kuna mtu anawaita watu kufunga safari kwenda kwenye makaburi na kuyaadhimisha. Je, inasihi kuswali nyuma yake?
Jibu: Hapana. Ambaye anaita kwenda kuyatembelea makaburi na kuyafungia safari haijuzu kuswali nyuma yake. Kwa kuwa hakemei shirki, bali analingania kwayo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14819
Imechapishwa: 16/04/2018
https://firqatunnajia.com/swalah-nyuma-ya-anayelingania-katika-ibaadah-ya-makaburi/