Swalah kwa mwanamke ambaye amezaa na hakutokwa na damu

Swali: Mke wangu amezaa mtoto na hakutokwa na damu. Je, aswali katika siku hizi au asubiri muda wa nifasi?

Jibu: Hapana. Huyu hana nifasi. Wasiotokwa na damu sio wenye nifasi. Aswali na asiache swalah.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–14330721.mp3
  • Imechapishwa: 24/09/2020