Swali: Je, ni choo cha haja au ni choo cha kuogea?
Jibu: Ni choo cha haja.
Swali: Ikiwa mbele ya msimamo wa kuswali kuna choo, je, inadhuru?
Jibu: Haidhuru, akiliswali nacho kiko mbele yake haidhuru.
Swali: Je, ndani ya choo swalah inasihi?
Jibu: Swalah haisihi ndani ya choo; Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza, akasema:
”Ardhi yote ni msikiti isipokuwa makaburi na vyoo.”
Kwa sababu ni mahali panapodhaniwa kuwa na najisi.
Swali: Vipi ikiwa mtu amefungwa ndani ya choo na hawezi kutoka hadi wakati wa swalah ukaisha?
Jibu: Allaah amesema:
وَقَدْ فَصَّلَ لَكُم مَّا حَرَّمَ عَلَيْكُمْ إِلَّا مَا اضْطُرِرْتُمْ إِلَيْهِ
”… na ilihali ameshapambanua kwenu yale Aliyokuharamishieni isipokuwa vile mlivyofikwa na dharura.”[1]
Hivyo dharurah ina hukumu zake.
[1] 06:119
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31602/ما-المقصود-بالحمام-الذي-لا-تصح-الصلاة-فيه
- Imechapishwa: 08/11/2025
Swali: Je, ni choo cha haja au ni choo cha kuogea?
Jibu: Ni choo cha haja.
Swali: Ikiwa mbele ya msimamo wa kuswali kuna choo, je, inadhuru?
Jibu: Haidhuru, akiliswali nacho kiko mbele yake haidhuru.
Swali: Je, ndani ya choo swalah inasihi?
Jibu: Swalah haisihi ndani ya choo; Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza, akasema:
”Ardhi yote ni msikiti isipokuwa makaburi na vyoo.”
Kwa sababu ni mahali panapodhaniwa kuwa na najisi.
Swali: Vipi ikiwa mtu amefungwa ndani ya choo na hawezi kutoka hadi wakati wa swalah ukaisha?
Jibu: Allaah amesema:
وَقَدْ فَصَّلَ لَكُم مَّا حَرَّمَ عَلَيْكُمْ إِلَّا مَا اضْطُرِرْتُمْ إِلَيْهِ
”… na ilihali ameshapambanua kwenu yale Aliyokuharamishieni isipokuwa vile mlivyofikwa na dharura.”[1]
Hivyo dharurah ina hukumu zake.
[1] 06:119
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31602/ما-المقصود-بالحمام-الذي-لا-تصح-الصلاة-فيه
Imechapishwa: 08/11/2025
https://firqatunnajia.com/swalah-kwa-mfungwa-ndani-ya-choo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
