Swali: Kuna ambao wanatoa swadaqah ili kuzuia majanga. Je, kitendo hichi kimewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Watunzeni wagonjwa wenu kwa swadaqah.”[1]
[1] al-Albaaniy amesema: “Mapokezi mengi yanaafikiana na neno “Watunzeni wagonjwa wenu” na kwa ajili hiyo ninaonelea kuwa ni Hasan (nzuri).” (Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (744)).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20maji%20d%20-%2011%20-%201%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Kuna ambao wanatoa swadaqah ili kuzuia majanga. Je, kitendo hichi kimewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Watunzeni wagonjwa wenu kwa swadaqah.”[1]
[1] al-Albaaniy amesema: “Mapokezi mengi yanaafikiana na neno “Watunzeni wagonjwa wenu” na kwa ajili hiyo ninaonelea kuwa ni Hasan (nzuri).” (Swahiyh-ut-Targhiyb wat-Tarhiyb (744)).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20maji%20d%20-%2011%20-%201%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/swadaqah-kwa-ajili-ya-majanga/