Swali: Ni Suurah zipi ambazo imependekezwa kwa imamu kuzisoma katika swalah ya ´Iyd baada ya kusoma al-Faatihah?
Jibu: Imependekezwa kusoma ima Suurah “Qaaf” na “Iqtarab” au Suurah “al-A´laa” na “al-Ghaashiyah”. Hii ndio Sunnah. Akisoma zengine pia ni sawa.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (16/245)
- Imechapishwa: 14/06/2018
Swali: Ni Suurah zipi ambazo imependekezwa kwa imamu kuzisoma katika swalah ya ´Iyd baada ya kusoma al-Faatihah?
Jibu: Imependekezwa kusoma ima Suurah “Qaaf” na “Iqtarab” au Suurah “al-A´laa” na “al-Ghaashiyah”. Hii ndio Sunnah. Akisoma zengine pia ni sawa.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (16/245)
Imechapishwa: 14/06/2018
https://firqatunnajia.com/suurah-zinazosomwa-katika-swalah-ya-iyd/