Swali: Je, mtu asome Suurah nyingine baada ya kumaliza kusoma al-Faatihah?
Jibu: Hapana, halikuthibiti jambo hili. Hakuna kilichothibiti isipokuwa usomaji tu wa al-Faatihah.
Swali: Mswaliji akimaliza kusoma al-Faatihah na imamu hajapiga Takbiyr ya pili…
Jibu: Anyamaze. Akimaliza kusoma anyamaze.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
- Imechapishwa: 17/08/2019
Swali: Je, mtu asome Suurah nyingine baada ya kumaliza kusoma al-Faatihah?
Jibu: Hapana, halikuthibiti jambo hili. Hakuna kilichothibiti isipokuwa usomaji tu wa al-Faatihah.
Swali: Mswaliji akimaliza kusoma al-Faatihah na imamu hajapiga Takbiyr ya pili…
Jibu: Anyamaze. Akimaliza kusoma anyamaze.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (15) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-24-11-1434_0.mp3
Imechapishwa: 17/08/2019
https://firqatunnajia.com/suurah-nyingine-baada-ya-al-faatihah-katika-swalah-ya-jeneza/