Swali: Ikiwa mtu anaswali Rak´ah mbili katika msikiti Mtakatifu wa Makkah ni lazima kwake aweke Sutrah?
Jibu: Hapana, si lazima akiwa katikati ya msikiti Mtakatifu kutokana na msongamano mkubwa. Ipo Hadiyth dhaifu kuhusu kutokuweka Sutrah. Hata hivyo kinachozingatiwa ni ule msongamano na ugumu katika Sutrah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21627/حكم-اتخاذ-السترة-للمصلي-في-الحرم-المكي
- Imechapishwa: 30/08/2022
Swali: Ikiwa mtu anaswali Rak´ah mbili katika msikiti Mtakatifu wa Makkah ni lazima kwake aweke Sutrah?
Jibu: Hapana, si lazima akiwa katikati ya msikiti Mtakatifu kutokana na msongamano mkubwa. Ipo Hadiyth dhaifu kuhusu kutokuweka Sutrah. Hata hivyo kinachozingatiwa ni ule msongamano na ugumu katika Sutrah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21627/حكم-اتخاذ-السترة-للمصلي-في-الحرم-المكي
Imechapishwa: 30/08/2022
https://firqatunnajia.com/sutrah-kwa-anayeswali-msikiti-makkah-mtakatifu-wa-makkah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
