Swali: Ikiwa anayeswali yuko jangwani – je, aweke Sutrah?
Jibu: Ndiyo.
Swali: Vipi aweke fimbo?
Jibu: Fimbo, mstari au kitu chochote kilicho rahisi – kiti au jiwe.
Swali: Viatu?
Jibu: Hapana, iwe kitu kama kiti chenye urefu wa takriban dhiraa moja pungufu ya robo, kwani Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema katika Hadiyth Swahiyh:
“Swalah ya mtu muislamu hukatizwa isipokuwa ikiwa mbele yake kuna kitu mfano wa mwisho wa tandiko la mnyama wa kupanda; punda, mbwa mweusi na mwanamke.”
Hii inafahamisha ya kwamba mwisho wa tandiko la mnyama inakaribia dhiraa moja pungufu ya robo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28936/حكم-السترة-للمصلي-في-الصحراء
- Imechapishwa: 13/05/2025
Swali: Ikiwa anayeswali yuko jangwani – je, aweke Sutrah?
Jibu: Ndiyo.
Swali: Vipi aweke fimbo?
Jibu: Fimbo, mstari au kitu chochote kilicho rahisi – kiti au jiwe.
Swali: Viatu?
Jibu: Hapana, iwe kitu kama kiti chenye urefu wa takriban dhiraa moja pungufu ya robo, kwani Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema katika Hadiyth Swahiyh:
“Swalah ya mtu muislamu hukatizwa isipokuwa ikiwa mbele yake kuna kitu mfano wa mwisho wa tandiko la mnyama wa kupanda; punda, mbwa mweusi na mwanamke.”
Hii inafahamisha ya kwamba mwisho wa tandiko la mnyama inakaribia dhiraa moja pungufu ya robo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28936/حكم-السترة-للمصلي-في-الصحراء
Imechapishwa: 13/05/2025
https://firqatunnajia.com/sutrah-kwa-anayeswali-jangwani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
