Swali: Ni ipi hukumu ya kuvaa suruwali?
Jibu: Ni kujifananisha na maadui wa Uislamu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yeyote mwenye kujifananisha na watu basi yeye ni katika wao.”[1]
Asipovaa kanzu juu yake, basi dogo liwezalo kusemwa ni kwamba inachukiza. Lakini akikusudia kujifananisha na maadui wa Uislamu, itakuwa haramu. Katika hali hiyo pengine kunakhofiwa juu yake ukafiri.
[1] Ahmad (5114, 5115 na 5667).
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 318
- Imechapishwa: 21/05/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya kuvaa suruwali?
Jibu: Ni kujifananisha na maadui wa Uislamu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Yeyote mwenye kujifananisha na watu basi yeye ni katika wao.”[1]
Asipovaa kanzu juu yake, basi dogo liwezalo kusemwa ni kwamba inachukiza. Lakini akikusudia kujifananisha na maadui wa Uislamu, itakuwa haramu. Katika hali hiyo pengine kunakhofiwa juu yake ukafiri.
[1] Ahmad (5114, 5115 na 5667).
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Qam´-ul-Mu´aanid, uk. 318
Imechapishwa: 21/05/2025
https://firqatunnajia.com/suruwali-kujifananisha-na-maadui-wa-uislamu/