Swali: Nikiingia msikitini kabla ya Dhuhr na nataka kuswali Raatibah inayokuwa kabla ya Dhuhr ambayo ni Rak´ah nne. Je, kwanza nianze kuswali Tahiyyat-ul-Masjid kisha ndio niswali Rak´ah nne au Tahiyyat-ul-Masjid inaingia ndani ya zile Rak´ah nne [za Raatibah]?
Jibu: Tahiyyat-ul-Masjid inaingia ndani ya zile Rak´ah nne. Kwa msemo mwingine ukiswali Raatibah kunakutosheleza kutohitajia kuswali Tahiyyat-ul-Masjid. Ni kama ambavyo iwapo ndio unaingia msikitini ukamkuta imamu anaswali swalah ya faradhi na ukajiunga pamoja naye kunakutosheleza kutohitajia kuswali Tahiyyat-ul-Masjid. Kwa sababu malengo ya hizo Rak´ah mbili za mamkuzi ni kwamba mtu asiketi chini mpaka kwanza aswali Rak´ah mbili. Ni mamoja Rak´ah hizo mbili ni Naafilah, Raatibah au za faradhi.
Lakini ametaja kuswali Rak´ah nne kama swalah ya Dhuhr. Inatakiwa itambulike kuwa Rak´ah nne hizi zinaswaliwa kwa salamu mbili.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=ydjTd-4u4ec
- Imechapishwa: 13/06/2019
Swali: Nikiingia msikitini kabla ya Dhuhr na nataka kuswali Raatibah inayokuwa kabla ya Dhuhr ambayo ni Rak´ah nne. Je, kwanza nianze kuswali Tahiyyat-ul-Masjid kisha ndio niswali Rak´ah nne au Tahiyyat-ul-Masjid inaingia ndani ya zile Rak´ah nne [za Raatibah]?
Jibu: Tahiyyat-ul-Masjid inaingia ndani ya zile Rak´ah nne. Kwa msemo mwingine ukiswali Raatibah kunakutosheleza kutohitajia kuswali Tahiyyat-ul-Masjid. Ni kama ambavyo iwapo ndio unaingia msikitini ukamkuta imamu anaswali swalah ya faradhi na ukajiunga pamoja naye kunakutosheleza kutohitajia kuswali Tahiyyat-ul-Masjid. Kwa sababu malengo ya hizo Rak´ah mbili za mamkuzi ni kwamba mtu asiketi chini mpaka kwanza aswali Rak´ah mbili. Ni mamoja Rak´ah hizo mbili ni Naafilah, Raatibah au za faradhi.
Lakini ametaja kuswali Rak´ah nne kama swalah ya Dhuhr. Inatakiwa itambulike kuwa Rak´ah nne hizi zinaswaliwa kwa salamu mbili.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=ydjTd-4u4ec
Imechapishwa: 13/06/2019
https://firqatunnajia.com/sunnah-ya-raatibah-inamtosha-mtu-kutohitajia-tahiyyat-ul-masjid-ii/