Swali: Je, ni bora kwa muislamu kudumu kuswali swalah ya Dhuhaa´ kila siku au afanye baadhi ya siku na kuacha siku zengine?
Jibu: Hii ndio Sunnah. Aswali baadhi ya siku na kuacha siku zengine. Aswali siku moja na kuacha siku nyingine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (93) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighstah%20-20-1-1440_0.mp3
- Imechapishwa: 19/04/2019
Swali: Je, ni bora kwa muislamu kudumu kuswali swalah ya Dhuhaa´ kila siku au afanye baadhi ya siku na kuacha siku zengine?
Jibu: Hii ndio Sunnah. Aswali baadhi ya siku na kuacha siku zengine. Aswali siku moja na kuacha siku nyingine.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (93) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighstah%20-20-1-1440_0.mp3
Imechapishwa: 19/04/2019
https://firqatunnajia.com/sunnah-ya-dhuhaa-kwa-mtazamo-wa-al-fawzaan/