Swali: Sunnah ni kuingiza maji puani kwa mkono wa kuume na kuyatoa kwa mkono wa kushoto?
Jibu: Sunnah ni kupandisha maji puani kwa mkono wa kuume, kwani hiyo ni ´ibaadah iliyokusudiwa na kupenga ni kuondosha vilivyo vibaya. Kwa hivyo kupandisha maji puani inakuwa kwa mkono wa kuume na kuyapenga inakuwa kwa mkono wa kushoto. Hivo ndio bora.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24721/ما-السنة-في-صفة-الاستنشاق-والاستنثار
- Imechapishwa: 02/12/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket