Swali: Vipi kuhusu kuingiza vidole kinywani wakati wa kusukutua mdomo?
Jibu: Hapana, si lazima. Inatosa kusukutua mdomo. Wakati wa kusafisha meno atumie Siwaak au kwa kidole chake. Kufanya hivo ndio bora. Si lazima kuingiza vidole. Inatosha akiingiza maji kinywani kisha akayatema.
Swali: Je, anaweka vidole vya kulia au vya kushoto mdomoni?
Jibu: Vya kushoto na Allaah akubariki. Kwa sababu ni kuondosha uchafu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24722/حكم-ادخال-الاصبع-في-الفم-عند-المضمضة
- Imechapishwa: 02/12/2024
Swali: Vipi kuhusu kuingiza vidole kinywani wakati wa kusukutua mdomo?
Jibu: Hapana, si lazima. Inatosa kusukutua mdomo. Wakati wa kusafisha meno atumie Siwaak au kwa kidole chake. Kufanya hivo ndio bora. Si lazima kuingiza vidole. Inatosha akiingiza maji kinywani kisha akayatema.
Swali: Je, anaweka vidole vya kulia au vya kushoto mdomoni?
Jibu: Vya kushoto na Allaah akubariki. Kwa sababu ni kuondosha uchafu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24722/حكم-ادخال-الاصبع-في-الفم-عند-المضمضة
Imechapishwa: 02/12/2024
https://firqatunnajia.com/kuingiza-vidole-kinywani-wakati-wa-kutawadha/