Swali: Je, Sunnah ni Wahy au hapana?
Jibu: Sunnah ni Wahy kutoka kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa) kwenda kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Matamshi yake ni ya (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Imesihi kutoka kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba amesema:
“Hakiki mimi nimepewa Qur-aan ni mfano wake pamoja nayo.”
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (4/285)
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Je, Sunnah ni Wahy au hapana?
Jibu: Sunnah ni Wahy kutoka kwa Allaah (Jalla wa ´Alaa) kwenda kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Matamshi yake ni ya (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Imesihi kutoka kwake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ya kwamba amesema:
“Hakiki mimi nimepewa Qur-aan ni mfano wake pamoja nayo.”
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (4/285)
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/sunnah-ni-wahy-kutoka-kwa-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)