Swali: Je, kumepokelewa kitu kuhusu swawm ya Sha?baan? Ni ipi hukumu ya kukhusisha funga ya tarehe 15 Sha?baan katika kila mwaka?
Jibu: Ndio, Mtume (Swalla Allaahu ?alayhi wa sallam) alikuwa akifunga Sha?baan siku zake nyingi. Sunnah ni kufunga Sha?baan na mtu akithirishe swawm ndani yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/node/13726
- Imechapishwa: 07/05/2017
Swali: Je, kumepokelewa kitu kuhusu swawm ya Sha?baan? Ni ipi hukumu ya kukhusisha funga ya tarehe 15 Sha?baan katika kila mwaka?
Jibu: Ndio, Mtume (Swalla Allaahu ?alayhi wa sallam) alikuwa akifunga Sha?baan siku zake nyingi. Sunnah ni kufunga Sha?baan na mtu akithirishe swawm ndani yake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/node/13726
Imechapishwa: 07/05/2017
https://firqatunnajia.com/sunnah-ni-kukithirisha-kufunga-shabaan/