Swali: Je, kumepokelewa kitu kuhusu swawm ya Sha?baan? Ni ipi hukumu ya kukhusisha funga ya tarehe 15 Sha?baan katika kila mwaka?
Jibu: Ndio, Mtume (Swalla Allaahu ?alayhi wa sallam) alikuwa akifunga Sha?baan siku zake nyingi. Sunnah ni kufunga Sha?baan na mtu akithirishe swawm ndani yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://alfawzan.af.org.sa/node/13726
- Imechapishwa: 07/05/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket