Swali: Inajuzu kuleta sujudu ya kusahau (سجود السهو) daima kabla ya Tasliym au daima baada ya Tasliym?
Jibu: Yote mawili yanajuzu, lakini lililo bora zaidi ni kuileta kabla ya Tasliym ikiwa mtu amepunguza kitu katika swalah na kuileta baada ya Tasliym ikiwa mtu ameongeza kitu katika swalah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
- Imechapishwa: 03/11/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket