Swali: Inajuzu kuleta sujudu ya kusahau (سجود السهو) daima kabla ya Tasliym au daima baada ya Tasliym?
Jibu: Yote mawili yanajuzu, lakini lililo bora zaidi ni kuileta kabla ya Tasliym ikiwa mtu amepunguza kitu katika swalah na kuileta baada ya Tasliym ikiwa mtu ameongeza kitu katika swalah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
- Imechapishwa: 03/11/2017
Swali: Inajuzu kuleta sujudu ya kusahau (سجود السهو) daima kabla ya Tasliym au daima baada ya Tasliym?
Jibu: Yote mawili yanajuzu, lakini lililo bora zaidi ni kuileta kabla ya Tasliym ikiwa mtu amepunguza kitu katika swalah na kuileta baada ya Tasliym ikiwa mtu ameongeza kitu katika swalah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (59) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-29-01-1438_0.mp3
Imechapishwa: 03/11/2017
https://firqatunnajia.com/sujuud-us-sahuw-ilio-bora/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket