Swali: Kuweka maji na changarawe ndogondogo juu ya kaburi ni Sunnah? Ni upi mwelekeo wako juu ya Hadiyth ambayo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anakataza kuzidisha juu ya ule mchanga uliofukuliwa kwenye kaburi iliopokelewa na Abu Daawuud katika “as-Sunan” yake?
Jibu: Kokoto zinawekwa juu ya kaburi ikiwa kunakhofiwa lisije kusambaratishwa na upepo. Bi maana udongo ule uliowekwa juu ya kaburi usije kupeperushwa. Katika hali hii kunawekwa changarawe ili udongo ukae imara. Ama kwa mfano wa makaburi yetu tulionayo hii leo udongo hauwezi kupeperushwa na upepo. Katika hali hii hakuna haja ya kuweka kokoto.
Kuhusu Hadiyth maana yake ni pale ambapo hakuna haja ya kufanya hivo. Ama kukiwa kuna haja basi ni lazima kuongeza udongo ili kaburi liweze kuonekana vizuri.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (31) http://binothaimeen.net/content/707
- Imechapishwa: 03/11/2017
Swali: Kuweka maji na changarawe ndogondogo juu ya kaburi ni Sunnah? Ni upi mwelekeo wako juu ya Hadiyth ambayo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anakataza kuzidisha juu ya ule mchanga uliofukuliwa kwenye kaburi iliopokelewa na Abu Daawuud katika “as-Sunan” yake?
Jibu: Kokoto zinawekwa juu ya kaburi ikiwa kunakhofiwa lisije kusambaratishwa na upepo. Bi maana udongo ule uliowekwa juu ya kaburi usije kupeperushwa. Katika hali hii kunawekwa changarawe ili udongo ukae imara. Ama kwa mfano wa makaburi yetu tulionayo hii leo udongo hauwezi kupeperushwa na upepo. Katika hali hii hakuna haja ya kuweka kokoto.
Kuhusu Hadiyth maana yake ni pale ambapo hakuna haja ya kufanya hivo. Ama kukiwa kuna haja basi ni lazima kuongeza udongo ili kaburi liweze kuonekana vizuri.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (31) http://binothaimeen.net/content/707
Imechapishwa: 03/11/2017
https://firqatunnajia.com/kuweka-kokoto-au-changarawe-juu-ya-kaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)