Swali: Kuna simu zinazoitwa “simu zenye akili” (Smart Phones)[1] ambazo zina programu nyingi na intaneti. Unatunasihi kuwaache wake zetu na watoto zetu wawe nazo. Sisi tunawatamania kheri na kuna jambo linaloendelea leo.
Jibu: Sio kheri. Simu hizi ulizotaja zina shari nyingi. Hata kama kuna kheri ndani yake ni ndogo na ya mshangao. Msiwaache wakawa nazo. Usiwaache wanawake zako na watoto wakawa nazo.
———–
(1) https://en.wikipedia.org/?title=Smartphone
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/muq–14331116.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Kuna simu zinazoitwa “simu zenye akili” (Smart Phones)[1] ambazo zina programu nyingi na intaneti. Unatunasihi kuwaache wake zetu na watoto zetu wawe nazo. Sisi tunawatamania kheri na kuna jambo linaloendelea leo.
Jibu: Sio kheri. Simu hizi ulizotaja zina shari nyingi. Hata kama kuna kheri ndani yake ni ndogo na ya mshangao. Msiwaache wakawa nazo. Usiwaache wanawake zako na watoto wakawa nazo.
———–
(1) https://en.wikipedia.org/?title=Smartphone
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (02) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/muq–14331116.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/smartphone-kwa-mke-na-mtoto/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)