Sisi (Shiy´ah) hatukusanyiki pamoja nao (Ahl-us-Sunnah) juu ya Mungu, wala juu ya Mtume wala juu ya kiongozi. Hilo ni kwa sababu wao (Ahl-us-Sunnah) wanasema kwamba Mola wao ni yule ambaye Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndiye Mtume wake na khaliyfah wake baada yake ni Abu Bakr. Sisi (Shiy´ah) hatumwamini Mola huyu wala Mtume huyu. Bali tunasema kwamba Mola ambaye khaliyfah wake ni Abu Bakr sio Mola wetu wala Mtume huyo sio Mtume wetu.
- Muhusika: Ni´matullaah al-Jazaairiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Anwaar an-Nu´maniyyah (02/278)
- Imechapishwa: 07/12/2018
Sisi (Shiy´ah) hatukusanyiki pamoja nao (Ahl-us-Sunnah) juu ya Mungu, wala juu ya Mtume wala juu ya kiongozi. Hilo ni kwa sababu wao (Ahl-us-Sunnah) wanasema kwamba Mola wao ni yule ambaye Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndiye Mtume wake na khaliyfah wake baada yake ni Abu Bakr. Sisi (Shiy´ah) hatumwamini Mola huyu wala Mtume huyu. Bali tunasema kwamba Mola ambaye khaliyfah wake ni Abu Bakr sio Mola wetu wala Mtume huyo sio Mtume wetu.
Muhusika: Ni´matullaah al-Jazaairiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Anwaar an-Nu´maniyyah (02/278)
Imechapishwa: 07/12/2018
https://firqatunnajia.com/sisi-ahl-us-sunnah-tuna-mola-na-mtume-mmoja-na-shiyah/